forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
420 B
Markdown
12 lines
420 B
Markdown
|
# kwao
|
||
|
|
||
|
"kwa umati"
|
||
|
|
||
|
# Nabii hakosi heshima ila
|
||
|
|
||
|
Ni hakika kabisa kwamba wananiheshimu na manabii wengine wa sehemu nyingine,lakini si ndani ya miji tuliozaliwa! Hata kidogo na watu wanaoishi katika nyumba zetu hawatuheshimu!"
|
||
|
|
||
|
# aliwawekea mikono wagonjwa wachache
|
||
|
|
||
|
"kuwawekea mikono" inarejea kwa nabii au mwalimu kuweka mikono yake kwa yeyote na kutoa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yesu anaponya watu.
|