sw_tn/mrk/05/18.md

494 B

mapepo-aliyekuwa amepagawa na mapepo

amepagawa na mapepo- Ijapokuwa mtu hajapagawa na mapepo tena, bado anaelezwa katika hali hiyo. "mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo"

Lakini hakumruhusu

Alichofanya Yesu hakikumruhusu mtu kufanya inaweza kusema kwa usahihi. "Lakini hakumruhusu mtu kuja nao"

Dekapoli

Mkoa uliokuwa kusinimashariki mwa Bahari ya Galilaya

kila mmoja alistaajabu

Inaweza kuwa msaada kusema kwanini watu walistaajabu. "watu wote waliosikia alichosema walistaajabu"