forked from WA-Catalog/sw_tn
494 B
494 B
mapepo-aliyekuwa amepagawa na mapepo
amepagawa na mapepo- Ijapokuwa mtu hajapagawa na mapepo tena, bado anaelezwa katika hali hiyo. "mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo"
Lakini hakumruhusu
Alichofanya Yesu hakikumruhusu mtu kufanya inaweza kusema kwa usahihi. "Lakini hakumruhusu mtu kuja nao"
Dekapoli
Mkoa uliokuwa kusinimashariki mwa Bahari ya Galilaya
kila mmoja alistaajabu
Inaweza kuwa msaada kusema kwanini watu walistaajabu. "watu wote waliosikia alichosema walistaajabu"