# mapepo-aliyekuwa amepagawa na mapepo amepagawa na mapepo- Ijapokuwa mtu hajapagawa na mapepo tena, bado anaelezwa katika hali hiyo. "mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo" # Lakini hakumruhusu Alichofanya Yesu hakikumruhusu mtu kufanya inaweza kusema kwa usahihi. "Lakini hakumruhusu mtu kuja nao" # Dekapoli Mkoa uliokuwa kusinimashariki mwa Bahari ya Galilaya # kila mmoja alistaajabu Inaweza kuwa msaada kusema kwanini watu walistaajabu. "watu wote waliosikia alichosema walistaajabu"