forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
606 B
Markdown
28 lines
606 B
Markdown
# Yesu mwenyewe
|
|
|
|
Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri"
|
|
|
|
# shetri
|
|
|
|
Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi"
|
|
|
|
# Wakamwamsha
|
|
|
|
Neno "waka" urejea kwa wanafunzi
|
|
|
|
# haujali sisi tunakufa?
|
|
|
|
Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa"
|
|
|
|
# tunaelekea kufa
|
|
|
|
Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu.
|
|
|
|
# Amani, shwari
|
|
|
|
Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza
|
|
|
|
# utulivu mkubwa
|
|
|
|
"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari"
|