sw_tn/mrk/04/38.md

606 B

Yesu mwenyewe

Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri"

shetri

Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi"

Wakamwamsha

Neno "waka" urejea kwa wanafunzi

haujali sisi tunakufa?

Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa"

tunaelekea kufa

Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu.

Amani, shwari

Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza

utulivu mkubwa

"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari"