forked from WA-Catalog/sw_tn
606 B
606 B
Yesu mwenyewe
Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri"
shetri
Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi"
Wakamwamsha
Neno "waka" urejea kwa wanafunzi
haujali sisi tunakufa?
Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa"
tunaelekea kufa
Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu.
Amani, shwari
Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza
utulivu mkubwa
"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari"