sw_tn/mrk/04/38.md

28 lines
606 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Yesu mwenyewe
Hapa "mwenyewe" husisitia kwamba Yesu alikuwa peke yake kwenye shetri"
# shetri
Hii inakuwa mwishoni mwa mtumbwi. "shetri ya mtumbwi"
# Wakamwamsha
Neno "waka" urejea kwa wanafunzi
# haujali sisi tunakufa?
Wanafunzi waliuliza swali hili kuonyesha uoga wao. Swali hii linaweza kuandikwa kama sentensi. "unapaswa kuwa makini kwa kile kinachotokea, wote tunakufa"
# tunaelekea kufa
Neno "tuna" inajumuisha wanafunzi na Yesu.
# Amani, shwari
Haya maneno mawili yanafanana na yanatumiwa kwa kusisitiza
# utulivu mkubwa
"ukimya mkubwa juu ya bahari" au utulivu mkubwa juu ya bahari"