forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
969 B
Markdown
32 lines
969 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaelezea mfano wa udongo kwa wafuasi wake na kisha anawambia kuhusiana na taa kuonyesha vitu vilivyo jificha vitajulikana.
|
|
|
|
# Na akasema kwao
|
|
|
|
"Na Yesu akasema na wanafunzi wake"
|
|
|
|
# Je hamuelewi mfano huu? Mtawezaje kuelewa mifano mingine ?
|
|
|
|
Yesu alitumia maswali haya kuonyesha jinsi alivyokuwa na huzuni kwamba wanafunzi wake hawakuweza kuelewa mfano wake. "kama hautaweza kuelewa mfano huu, fikiri jinsi ilivyo ngumu kwa wewe kuelewa mifano mingine"
|
|
|
|
# Mkulima anayepanda mbegu zake
|
|
|
|
"Mkulima anayepanda mbegu zake huwakilisha"
|
|
|
|
# kwa yule anayepanda neno
|
|
|
|
"Neno" huwakilisha ujumbe wa Mungu. Kupanda ujumbe huwakilisha kufundisha. "yule anayefundisha watu ujumbe wa Mungu"
|
|
|
|
# Baadhi huanguka kandokando mwa njia
|
|
|
|
"Baadhi ya watu ni kama mbegu huanguka kandokando mwa njia" au "Baadhi ya watu ni kama njia ya miguu ambapo mbegu huangukia"
|
|
|
|
# njia
|
|
|
|
"njia ya miguu"
|
|
|
|
# wanapoisikia
|
|
|
|
Hapa wanapo-"i" sikia urejea "neno" au "ujumbe wa Mungu"
|