sw_tn/mrk/03/17.md

444 B

kwa wale aliowapa

Kikundi cha maneno "kwa wale" urejea kwa wote Yakobo mwana wa Zebedayo na ndugu yake Yohana.

jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo

"Jina Bonagesi, ambalo lina maanisha wana wa ngurumo" Maana ya jina "Bonagesi" inaweza kuwa dhabiti zaidi. "jina jipya 'wanaume wanaofananishwa kama ngurumo"

Thadayo

Hili ni jina la mwanaume

ambaye atamsaliti

"ambaye atamsaliti Yesu" Neno "ambaye" urejea kwa Yuda Iskariote.