sw_tn/mrk/03/13.md

405 B

Sentensi unganishi

Yesu awaita rasmi wanafunzi wake kabla hajaenda nyumbani, pale aliposhitakiwa kuwa wazimu na aliyetawaliwa na Beelzebuli.

ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri

"ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri"

Simoni, aliyempa jina la Petro

Mwandishi anaanza kuwataja orodha ya majina ya mitume kumi na mbili. Simoni ni mtu wa kwanza aliye kutajwa.