forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
405 B
Markdown
12 lines
405 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu awaita rasmi wanafunzi wake kabla hajaenda nyumbani, pale aliposhitakiwa kuwa wazimu na aliyetawaliwa na Beelzebuli.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri"
|
||
|
|
||
|
# Simoni, aliyempa jina la Petro
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaanza kuwataja orodha ya majina ya mitume kumi na mbili. Simoni ni mtu wa kwanza aliye kutajwa.
|