forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
497 B
Markdown
16 lines
497 B
Markdown
# Tuna nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazareti?
|
|
|
|
Mapepo wanauliza swali wakimaanisha kuwa hakuna sababu ya Yesu kuwaingilia na wanatamani yeye aondoke. " Yesu wa Nazareti, tuache sisi peke yetu! Hakuna sababu ya wewe kutuingilia sisi."
|
|
|
|
# Je! Umekuja kutuangamiza sisi?
|
|
|
|
Mapepo wanauliza swali kumsihi Yesu asiwadhuru. "Usi tuharibu sisi!"
|
|
|
|
# alimtupa yeye chini
|
|
|
|
Hapa neno "yeye" lina rejea kwa mtu aliye pagawa na mapepo.
|
|
|
|
# wakati analia kwa sauti kubwa
|
|
|
|
Pepo ndiye anayelia, wala siyo mtu.
|