sw_tn/mrk/01/23.md

497 B

Tuna nini cha kufanya na wewe, Yesu wa Nazareti?

Mapepo wanauliza swali wakimaanisha kuwa hakuna sababu ya Yesu kuwaingilia na wanatamani yeye aondoke. " Yesu wa Nazareti, tuache sisi peke yetu! Hakuna sababu ya wewe kutuingilia sisi."

Je! Umekuja kutuangamiza sisi?

Mapepo wanauliza swali kumsihi Yesu asiwadhuru. "Usi tuharibu sisi!"

alimtupa yeye chini

Hapa neno "yeye" lina rejea kwa mtu aliye pagawa na mapepo.

wakati analia kwa sauti kubwa

Pepo ndiye anayelia, wala siyo mtu.