sw_tn/mrk/01/19.md

332 B

ndani ya mtumbwi

"ndani ya mtumbwi wao"

kutayarisha nyavu

"kushona nyavu"

aliwaita wao

Inaweza kuwa msaada kusema wazi kwanini Yesu alimwita Yakobo na Yohana. AT: "aliwaita wao waje naye"

watumishi waliokodiwa

"watumishi ambao walifanya kazi kwa ajili yao"

walimfuata

"Yakobo na Yohana walikwenda pamoja na Yesu"