sw_tn/mic/07/18.md

239 B

Ni nani aliye Mungu kama wewe

Mika anatumia swali kusisitiza kwamba hakuna mwingine afanyaye mambo ambayo Yahwe ayafanyayo.

mabaki ya mrithi wako

"wale walio wakwetu watu wako waliochaguliwa ambao walioponea chupuchupu adhabu yako"