sw_tn/mic/07/03.md

572 B

Maelezo ya Jumla:

Mika anaendelea kuongea kuhusu watu wa Israeli.

Mikono yao ni mizuri mno

"Watu ni wazuri sana"

Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama miche ya miba

Hii inamaanisha kwamba hata kiongozi mzuri katika Israeli amesababisha maumivu na walikuwa hawafai kitu

Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi, siku ya adhabu

Hapa "yako" bado inawarejea watu wa Israeli. "Manabii wao wamewaambia kwamba Yahwe angewaadhibu"

Sasa ni muda wa machafuko yao

Hii inaweza kurejea kushinda vita. "Sasa iko hapa, na hawataelewa nini kinaendelea"