sw_tn/mic/06/16.md

452 B

Maelezo ya jumla:

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Kanuni zilizotengenezwa na Omri zimetunzwa

"Mmefanya kile ambacho Omri alichoamuru"

Omri...Ahabu

Hawa watu wote walikuwa wafalme juu ufalme wa kaskazini mwa Israeli. Mungu aliwahesabu wote kuwa waovu sana.

Mnatembea kwa ushauri wao

"mmefanya mambo maovu ambayo Omri na Ahabu waliwaambia watu kufanya.

jambo la kuzomea

Hicho ni, kitu cha kudhihaki kwa kuzomea kwacho.