forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
452 B
Markdown
20 lines
452 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kanuni zilizotengenezwa na Omri zimetunzwa
|
||
|
|
||
|
"Mmefanya kile ambacho Omri alichoamuru"
|
||
|
|
||
|
# Omri...Ahabu
|
||
|
|
||
|
Hawa watu wote walikuwa wafalme juu ufalme wa kaskazini mwa Israeli. Mungu aliwahesabu wote kuwa waovu sana.
|
||
|
|
||
|
# Mnatembea kwa ushauri wao
|
||
|
|
||
|
"mmefanya mambo maovu ambayo Omri na Ahabu waliwaambia watu kufanya.
|
||
|
|
||
|
# jambo la kuzomea
|
||
|
|
||
|
Hicho ni, kitu cha kudhihaki kwa kuzomea kwacho.
|