forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
453 B
Markdown
20 lines
453 B
Markdown
# neno la Yahwe likanijia
|
|
|
|
"neno la Yahwe Mungu ameongea"
|
|
|
|
# Yahwe
|
|
|
|
Hili ni jina la Mungu ambalo alilojifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|
|
|
|
# Mmorashti
|
|
|
|
Hii inamaana anatoka Morashti ambao ni mji katika Yuda.
|
|
|
|
# katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Kezekia, wafalme wa Yuda
|
|
|
|
"wakati Yotahamu, Ahazi, na Hezekia walipokuwa wafalme wa Yuda"
|
|
|
|
# lile neno aliloliona kuhusiana na Yerusalemu
|
|
|
|
"Ono aliloliona kuhusiana na watu wa Samaria na Yerusalemu"
|