sw_tn/mic/01/01.md

453 B

neno la Yahwe likanijia

"neno la Yahwe Mungu ameongea"

Yahwe

Hili ni jina la Mungu ambalo alilojifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.

Mmorashti

Hii inamaana anatoka Morashti ambao ni mji katika Yuda.

katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Kezekia, wafalme wa Yuda

"wakati Yotahamu, Ahazi, na Hezekia walipokuwa wafalme wa Yuda"

lile neno aliloliona kuhusiana na Yerusalemu

"Ono aliloliona kuhusiana na watu wa Samaria na Yerusalemu"