forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
404 B
Markdown
20 lines
404 B
Markdown
# Nimepewa mamlaka yote
|
|
|
|
"Baba yangu amaenipa mamlaka yote"
|
|
|
|
# dunuani na mbinguni
|
|
|
|
"Mbingini" na "duniani"zimetumika pamoja kumaanisha kila kitu na kila mmoja duniani na mbinguni.
|
|
|
|
# mataifa yote
|
|
|
|
Hapa "mataifa" inamaanisha watu. "kwa watu wote kwa kila taifa"
|
|
|
|
# kwa jina
|
|
|
|
Hapa "jina" linamaanisha mamlaka. 'kwa mamlaka"
|
|
|
|
# Baba ... Mwana
|
|
|
|
hIvi ni vyeo maalumu vinavyoonesha uhusiano wa Yesu na Mungu.
|