sw_tn/mat/28/18.md

404 B

Nimepewa mamlaka yote

"Baba yangu amaenipa mamlaka yote"

dunuani na mbinguni

"Mbingini" na "duniani"zimetumika pamoja kumaanisha kila kitu na kila mmoja duniani na mbinguni.

mataifa yote

Hapa "mataifa" inamaanisha watu. "kwa watu wote kwa kila taifa"

kwa jina

Hapa "jina" linamaanisha mamlaka. 'kwa mamlaka"

Baba ... Mwana

hIvi ni vyeo maalumu vinavyoonesha uhusiano wa Yesu na Mungu.