forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
728 B
Markdown
36 lines
728 B
Markdown
# maandalio
|
|
|
|
Hii ni siku ambayyo watu waliandaa mabo yao kwa sababu ya sabato
|
|
|
|
# walikusanyika pamoja kwaPilato
|
|
|
|
"walikutana na Pilato"
|
|
|
|
# yule mdanganyifu alipokuwa hai
|
|
|
|
"wakati mdanganyifuYesu alipokuwa hai"
|
|
|
|
# alisema, 'baada ya siku tatu atafufuka tena.'
|
|
|
|
"alisema kwamba baada ya siku tatu atafufuka tena"
|
|
|
|
# agiza kwamba kaburi lilindwe salama
|
|
|
|
"waagize maaskari wako kulilinda kaburi"
|
|
|
|
# siku ya tatu
|
|
|
|
siku ya 3
|
|
|
|
# kumuiba
|
|
|
|
"kuiba mwili wake"
|
|
|
|
# na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.'
|
|
|
|
"na kuwaambia watu kwamba amefufuka kutoka wafu"
|
|
|
|
# Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko wa kwanza
|
|
|
|
"kama watawadanganya watu kwa kusema hivyo, itakuwa vibaya kuliko alivyowadanganya watu kwa kusema kuwa yeye ni Kristo"
|