sw_tn/mat/27/62.md

728 B

maandalio

Hii ni siku ambayyo watu waliandaa mabo yao kwa sababu ya sabato

walikusanyika pamoja kwaPilato

"walikutana na Pilato"

yule mdanganyifu alipokuwa hai

"wakati mdanganyifuYesu alipokuwa hai"

alisema, 'baada ya siku tatu atafufuka tena.'

"alisema kwamba baada ya siku tatu atafufuka tena"

agiza kwamba kaburi lilindwe salama

"waagize maaskari wako kulilinda kaburi"

siku ya tatu

siku ya 3

kumuiba

"kuiba mwili wake"

na kusema kwa watu, 'Amefufuka kutoka wafu.'

"na kuwaambia watu kwamba amefufuka kutoka wafu"

Na udanganyifu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko wa kwanza

"kama watawadanganya watu kwa kusema hivyo, itakuwa vibaya kuliko alivyowadanganya watu kwa kusema kuwa yeye ni Kristo"