sw_tn/mat/27/48.md

16 lines
391 B
Markdown

# mmoja wao
inaweza kumaanisha 1)mmoja wa maaskari au 2) mmoja wale waliokuwa wamesimama karibu wakitazama
# sifingo
Huyu ni mnyama wa majini ambaye anapokuwa amevuliwa lile ganda lake liliweza kutumika kwa kuwekea vitu kama maji na kinywaji ambacho kinaweza kusukumwa nje.
# na kumpa
"akampa Yeu
# akaitoa nafsi yake
"akafa akiitoa roho yake kwa Mungu" au "akapumua pumzi ya mwisho"