sw_tn/mat/27/48.md

391 B

mmoja wao

inaweza kumaanisha 1)mmoja wa maaskari au 2) mmoja wale waliokuwa wamesimama karibu wakitazama

sifingo

Huyu ni mnyama wa majini ambaye anapokuwa amevuliwa lile ganda lake liliweza kutumika kwa kuwekea vitu kama maji na kinywaji ambacho kinaweza kusukumwa nje.

na kumpa

"akampa Yeu

akaitoa nafsi yake

"akafa akiitoa roho yake kwa Mungu" au "akapumua pumzi ya mwisho"