sw_tn/mat/27/43.md

392 B

Sentensi unganishi

Viongozi wa Wayahudi wanaendelea kumkejeli Yesu

Kwa sababu alisema, 'Mimi ni Mwana wa Mungu.'

"Kwa sababu Yesu alisema kuwa yeye ni Mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo cha maalumu cha Yesu ambacho kinaelezea uhusiano na Mungu

Na wale wanyang.nyi waliokuwa wamesulibiwa pamoja naye

"Na wale wanyanga'nyi ambao maaskari waliwasulibisha pamoja na Yesu"