sw_tn/mat/27/32.md

560 B

Walipotoka nje

Hii inamaanisha Yesu na maaskari walitoka nje ya mji, "walipokuwa wakitoka nje ya Yerusalaem"

walimwonamtu

"maaskari walimwona mtu"

ambaye walimulazimisha kwenda nao ili apate kubeba msalaba wake

"amabye maaskari walimlazimisha kwenda naye ili kwamba abebe msalaba wa Yesu"

mahali paitwapo fuvu la kichwa

"eneo ambalo watu waliliita Golgotha"

Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo.

"walimpa siki, ambayo walikuwa wameichanganya na nyongo"

siki

kinwaji kichungu cha njano ambacho miili hukitumia kwa mmeng'enyo wa chakula