forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
638 B
Markdown
28 lines
638 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inaanzisha habari ya kusulibiwa kwa Yesu
|
|
|
|
# kundi kubwa la maaskari
|
|
|
|
"kikosi cha maaskari
|
|
|
|
# wakamvua
|
|
|
|
"kumvulisha nguo"
|
|
|
|
# nyekundu
|
|
|
|
"nyekundu yenye mng'ao
|
|
|
|
# taji ya miiba
|
|
|
|
"taji iliyotengenezwa kwa matawi ya miiba" au "taji ilitengenezwa ka matawi yalyo na miiba"
|
|
|
|
# mwanzi katika mkono wake wa kuume
|
|
|
|
Walimpa Yesu ashikilie fimbo kuonesha kuwa wafalme hushilia fimboya enzi. walifanya hivi kumkejeli.
|
|
|
|
# salalmu mfalme wa Wayahudi
|
|
|
|
walisema hivi kumkejeliYesu. walikuwa wakimwita Yesu "mfalme, wa Wayahudi," lakini kwa hakika hawakuamini kuwa Yesu alikuwa mfalme. Lakini walichokuwa wakisema kilikuwa kweli.
|