sw_tn/mat/27/27.md

638 B

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya kusulibiwa kwa Yesu

kundi kubwa la maaskari

"kikosi cha maaskari

wakamvua

"kumvulisha nguo"

nyekundu

"nyekundu yenye mng'ao

taji ya miiba

"taji iliyotengenezwa kwa matawi ya miiba" au "taji ilitengenezwa ka matawi yalyo na miiba"

mwanzi katika mkono wake wa kuume

Walimpa Yesu ashikilie fimbo kuonesha kuwa wafalme hushilia fimboya enzi. walifanya hivi kumkejeli.

salalmu mfalme wa Wayahudi

walisema hivi kumkejeliYesu. walikuwa wakimwita Yesu "mfalme, wa Wayahudi," lakini kwa hakika hawakuamini kuwa Yesu alikuwa mfalme. Lakini walichokuwa wakisema kilikuwa kweli.