|
# ametenda
|
|
|
|
"ambalo Yesu ametenda"
|
|
|
|
# walipaza sauti
|
|
|
|
"walipiga kelele"
|
|
|
|
# akanawa mikono yake mbele ya umati
|
|
|
|
Pilato alifanya hivi kama ishara ya kuwa yeye hawajibiki kwa kifo cha Yesu
|
|
|
|
# damu
|
|
|
|
"damu" inamaanisha damu ya mtu "kifo"
|
|
|
|
# yaangalieni haya wenyewe
|
|
|
|
"huu ni wajibu wenu"
|