sw_tn/mat/27/23.md

283 B

ametenda

"ambalo Yesu ametenda"

walipaza sauti

"walipiga kelele"

akanawa mikono yake mbele ya umati

Pilato alifanya hivi kama ishara ya kuwa yeye hawajibiki kwa kifo cha Yesu

damu

"damu" inamaanisha damu ya mtu "kifo"

yaangalieni haya wenyewe

"huu ni wajibu wenu"