sw_tn/mat/27/17.md

542 B

walipokiuwa wamekusanyika

"umati ulikuwa umekusanyika"

Yesu anayeitwa Kristo

ambaye watu baadhi humwita Kristo

wamekwisha kumkamata Yesu

viongozi wa Wayahudi walikuwa wamemleta Yesu kwake. "walifanya haya ili kwamba Pilato amhukumu Yesu.

alipokuwa akiketi

"Pilato alopokuwa ameketi"

alipokuwa akiketi kwenye kti chake cha hukumu"

"Kuketi kwenye kiti cha hakimu." Hapa ndipo hakimu huketi anapokuwa akifanya maamuzi.

alimtumia neno

"neno" inamaanisha ujumbe. "alituma ujumbe"

leo nimeteswa mno

"Nimeteseka san leo"