sw_tn/mat/27/11.md

757 B

Senteni unganishi

Ni habari inayoanzi 27:1

Sasa

Kama lugha yako ina maneno yanyotumika kuendeleza mazungumzo baada ya pumziko la hadithi kubwa, waweza kuyatumia hapa

liwali

"Pilato"

wewe wasema hivyo

Hii ni nahau ambayo Yesu anatumia kumaanisha "ndiyo" lenye lengo lakumaanisha kutoweka wazi alichokuwa anasema "wewe ndiye unayesema" au "unaonesha kukiri"

wakati aliposhitakiwa na wakuu wa Makuhani na wazee

"Lakini wakati wakuu wa makuhani na wazee walipomshitaki"

Hyasikii mashaitaka yote dhidi yako?

Pilatoanauliza swali kwa sababu anashangazwa na ukimya wa Yewsu. "Ninashangazwa kwamba huwajibu hawa watu wanokushitaki kwa kutenda mabaya"

neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao

"neno moja; hii ilimshangaza sana liwali"