forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
757 B
Markdown
28 lines
757 B
Markdown
|
# Senteni unganishi
|
||
|
|
||
|
Ni habari inayoanzi 27:1
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Kama lugha yako ina maneno yanyotumika kuendeleza mazungumzo baada ya pumziko la hadithi kubwa, waweza kuyatumia hapa
|
||
|
|
||
|
# liwali
|
||
|
|
||
|
"Pilato"
|
||
|
|
||
|
# wewe wasema hivyo
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau ambayo Yesu anatumia kumaanisha "ndiyo" lenye lengo lakumaanisha kutoweka wazi alichokuwa anasema "wewe ndiye unayesema" au "unaonesha kukiri"
|
||
|
|
||
|
# wakati aliposhitakiwa na wakuu wa Makuhani na wazee
|
||
|
|
||
|
"Lakini wakati wakuu wa makuhani na wazee walipomshitaki"
|
||
|
|
||
|
# Hyasikii mashaitaka yote dhidi yako?
|
||
|
|
||
|
Pilatoanauliza swali kwa sababu anashangazwa na ukimya wa Yewsu. "Ninashangazwa kwamba huwajibu hawa watu wanokushitaki kwa kutenda mabaya"
|
||
|
|
||
|
# neno moja, hivyo liwali alijawa na mshangao
|
||
|
|
||
|
"neno moja; hii ilimshangaza sana liwali"
|