sw_tn/mat/27/06.md

599 B

si halali kuiweka fedha hii

"Sheria zetu hazituruhusu kuiweka hii"

Kuiweka hii

"kuiweka fedha hii"

hazina

ahaili ni eneo ambalo waliweka ile fedha waliyotumia kwa mahitaji ya hekaluni nakwa makuhani.

gharama ya damu

Hii ni nahau inayomaanisha pesa i;iyotumika kumlipa mtu aliyeua mtu. "Pesa iliyolipwa kwa ajili ya kuuawa kwa mtu"

shamba la mfinyanzi

Hili n ishamba ambalo lilikuwa limenunuliwa kwa ajili ya kuwazikia wageni waliofia Yerusalemu

hilo shamba limekuwa likiitwa

"watu huliita shamba hilo"

hadi leo hii

Hadi wakati ambao Mathayo alikuwa anaandika kitabu hiki.