sw_tn/mat/26/73.md

449 B

Mmoja wao.

"Mmoja wa hao waliokuwa pamoja na Yesu."

Kwa kuwa rafudhi yako huonesha.

"Tunaweza kukuambia kwamba unatoka Galilaya kwa sababu unaongea kama Mgalilaya."

kulaani.

"Kujitakia laana iwe juu yake mwenyewe."

jogoo akawika

Tazama 26:33

Petro alikumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu, "kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu."

Ptro alikumbuka kuwa Yesu alikuwa amemwambia kuwa kabla jogoo hajawika atakuwa amemkana mara tatu"