sw_tn/mat/26/67.md

16 lines
341 B
Markdown

# Kisha wali
Maana yaweza kuwa: "Kisha baadhi ya watu" au "Kisha askari"
# Walimtemea usoni.
Hili ni tendo la kufedhehesha.
# Tutabirie.
Hapa "tutabirie" humaanisha, "tuambie kwa kutumia uwezo wa Mungu." Haimaanishi, "tuambie kitu gani kitatokea kwa wakati ujao."
# Wewe Kristo
Wale waliokuwa wakimpiga Yesu. Walimwita kwa kumdhihaki