forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
341 B
Markdown
16 lines
341 B
Markdown
# Kisha wali
|
|
|
|
Maana yaweza kuwa: "Kisha baadhi ya watu" au "Kisha askari"
|
|
|
|
# Walimtemea usoni.
|
|
|
|
Hili ni tendo la kufedhehesha.
|
|
|
|
# Tutabirie.
|
|
|
|
Hapa "tutabirie" humaanisha, "tuambie kwa kutumia uwezo wa Mungu." Haimaanishi, "tuambie kitu gani kitatokea kwa wakati ujao."
|
|
|
|
# Wewe Kristo
|
|
|
|
Wale waliokuwa wakimpiga Yesu. Walimwita kwa kumdhihaki
|