sw_tn/mat/26/67.md

341 B

Kisha wali

Maana yaweza kuwa: "Kisha baadhi ya watu" au "Kisha askari"

Walimtemea usoni.

Hili ni tendo la kufedhehesha.

Tutabirie.

Hapa "tutabirie" humaanisha, "tuambie kwa kutumia uwezo wa Mungu." Haimaanishi, "tuambie kitu gani kitatokea kwa wakati ujao."

Wewe Kristo

Wale waliokuwa wakimpiga Yesu. Walimwita kwa kumdhihaki