forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
348 B
Markdown
16 lines
348 B
Markdown
# Kuhani Mkuu alirarua mavazi yake.
|
|
|
|
Kuchana mavazi ilikuwa ni ishara ya huzuni na hasira.
|
|
|
|
# amekufuru
|
|
|
|
kwa kufuru hii, inamaanisha kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni sawa na Mungu
|
|
|
|
# Je, twahitaji tena ushahidi?
|
|
|
|
"hatuhitaji kusikia ushahidi mwingine"
|
|
|
|
# Tayari mmesikia
|
|
|
|
kiwakilishi cha "mme" kikokatika wingi kinamaanisha wajumbe wa baraza.
|