sw_tn/mat/26/65.md

348 B

Kuhani Mkuu alirarua mavazi yake.

Kuchana mavazi ilikuwa ni ishara ya huzuni na hasira.

amekufuru

kwa kufuru hii, inamaanisha kuwa Yesu alikuwa akidai kuwa yeye ni sawa na Mungu

Je, twahitaji tena ushahidi?

"hatuhitaji kusikia ushahidi mwingine"

Tayari mmesikia

kiwakilishi cha "mme" kikokatika wingi kinamaanisha wajumbe wa baraza.