sw_tn/mat/26/62.md

997 B

hawa wanakushuhudia nini dhidi yako?

"unajibu nini juu ya ushuhuda huu dhidi yako?"

Mwana wa Mungu.

Hili ni jina mashuhuri ambalo hueleza uhusiano kati ya Kristo na Mungu.

Mungu aishivyo

Tazama 16:13

Umesema jambo hilo wewe mwenyewe.

Yesu anathibitisha kwamba yeye "ndiye Kristo, Mwana wa Mungu. "Kama ulivyosema, Mimi ndiye" au "Umekubaliana na ukweli huo"

Lakini nakuambia, tangu sasa na kuendelea

Neno "wewe" ni la wingi. Yesu anamwambia kuhani mkuu na kwa wengine waliokuwapo hapo.

Tangu sasa na kuendelea mtamwona Mwana wa Adamu.

Maana zinaweza kuwa: 1) Watamuona Mwana wa Adamu baadaye kwa wakati ujao au 2) kwa "sasa" Yesu anamaanisha wakati wa kifo chake, kule kurudi kwake kutoka kwa wafu, na kupaa kwake kwenda mbinguni.

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake

Upande wa mkono wa kulia wenye nguvu.

"Upande wa mkono wa kulia wa Mungu mwenyezi"

Akija katika mawingu ya mbinguni.

"Akisafiri kuja duniani katika mawingu ya mbinguni."