sw_tn/mat/26/49.md

274 B

alikuja kwaYesu.

"Yuda alimtokea Yesu."

Alimbusu.

"Akakutana naye kwa kumbusu."

ndipo wakaja

"Kiwakilishi "waka.." kinamaanisha wale watu waliokuja na Yuda wakiwaa na marungu na mapanga pamoja na viongozi wa dini

Wakamnyooshea Yesu mikono.

Wakamkamata Yesu"