sw_tn/mat/26/45.md

349 B

Bado mmelala tu na kijipumzisha

Ninasikitika kwamba bado mmelala na kupumzika"

Saa imekaribia.

"Muda umefika."

na Mwana wa Adamu anasalitiwa

"kuna mmoja wenu anamsaliti mwana wa Aadamu"

Mikono ya wenye dhambi.

Neno "mikono" linamaanisha mamlaka ya kutawala. "Watu wenye dhambi."

Tazameni

"Zingatia kile ambacho nataka kuwaambia."