sw_tn/mat/26/42.md

645 B

Akaenda zake.

"Yesu alienda zake."

mara ya pili ... mara ya tatu

mpangilio kwa nafasi za namba

Nisipokinywea.

"Isipokuwa kukinywea kikombe hiki cha mateso."

Baba yangu.

Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

Macho yao yalikuwa mazito.

"Walikuwa wakisinzia- sinzia sana."

hili haliwezi kuepukika

"lazima nikinywee"

kama jambo hili

J"ambo hili" inamaanisha kikombe na kile kilichomo.

na ni lazima nikinywee

"lazima nikinywee" lazima nikinywee kikombe cha mateso"

mapenzi yako yatimizwe

"kile utakacho kifanyike"

macho yako yalikuwa mazito

"walikuwa na usingizi mzito"