sw_tn/mat/26/36.md

16 lines
267 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane
# na akaanza kuhuzuniaka
"na akawa na huzuni sana"
# Roho yangu inahuzuni kubwa sana
Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana"
# kiasi cha kufa
"Najihisi kama nataka kufa"