|
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane
|
|
|
|
# na akaanza kuhuzuniaka
|
|
|
|
"na akawa na huzuni sana"
|
|
|
|
# Roho yangu inahuzuni kubwa sana
|
|
|
|
Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana"
|
|
|
|
# kiasi cha kufa
|
|
|
|
"Najihisi kama nataka kufa"
|