sw_tn/mat/26/36.md

267 B

Sentensi unganishi

Hii inaazisha habariy a Yesu akiomba Gethsemane

na akaanza kuhuzuniaka

"na akawa na huzuni sana"

Roho yangu inahuzuni kubwa sana

Hapa roho inamaanisha nafsi nzima ya mtu. "Nina huzuni sana"

kiasi cha kufa

"Najihisi kama nataka kufa"