sw_tn/mat/26/30.md

728 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake wakati wakielekea mlima wa Mizeituni

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 31, Yesu anamnukuu Nabii Zekaria kuonesha kuwa ili kutimiza unabii, wanaaafunzi wake wataondoka.

Wimbo.

Wimbo wa sifa kwa Mungu.

kujikwaa

"mtaniacha"

Kukataa.

"Kuniacha."

kwa kuwa imeandikwa

Kwa kuwa nabii zekaria aliandika tangu awali katika maandiko"

Nitampiga

kiwakilishi "ni" kinamaanisha Mungu. Inamaanisha kuwa Mungu atasababisha au kuruhusu watu kumwumiza na kumwua Yesu

mchungaji ... na kondoo wa kundi

Yesu na wanafunziwake

Kondoo wa kundi watatawanyika

"Watawatawanya kondoo wote wa kundi"

Baada ya kufufuka kwangu

"Baada ya Mungu kunifufua"