sw_tn/mat/26/20.md

12 lines
255 B
Markdown

# Aliketi chini apate kula.
Tumia neno kwa mkao ambao watu katika utamaduni wako daima hukaa wakati wa kula.
# kweli nawaambia
"Nawaambia ukweli." Huu ni msisitizo wa kile kilichofuata
# Hakika siyo mimi, Bwana?
"Nina hakika mimi siye, Je, ni mimi?"