sw_tn/mat/26/20.md

255 B

Aliketi chini apate kula.

Tumia neno kwa mkao ambao watu katika utamaduni wako daima hukaa wakati wa kula.

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli." Huu ni msisitizo wa kile kilichofuata

Hakika siyo mimi, Bwana?

"Nina hakika mimi siye, Je, ni mimi?"